• 7:20 AM
  • Mbeya Info

kilimo cha matikiti

Kilimo cha Matikiti Maji


Mahitaji
1. Shamba la eka 5
2. Mbegu
3. Gharama za uendeshaji wa shamba

Matikiti maji aina ya Sugar baby yanachukua siku 60 toka kupandwa hadi kuvuna na kwa mwaka unaweza kulima mara 4 .

Upandaji:
Nafasi ya shimbo moja kwenda lingine  ni 2mx2m na kila shimo unatakiwa kuweka  mbegu 2 ambazo zinazaa matunda 2 - 3  ambayo wakati wa mavuno hukupatia matunda 4 - 6

Hivyo kwa spacing hiyo napata mashimo 1000-1200

Idadi ya matunda
Mashimo x Matunda kwa shimo x ekari 1,000 x 5 x 5 = 25,000

Mapato
Wastani wa shilingi 500 kwa tikiti x idadi ya matikiti kwa eneo la ekari 5 25,000 x 500 = 12,500,000

Mapato kwa mwaka
12,500,000 x 4 = 50,000,000


Gharama za uendeshaji wa shamba kwa mwaka ni Tsh 25,000,000
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
← Newer Post Older Post → Home

Copyright © Mjasiriamali | Powered by Blogger